JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

Watumishi wawili Jiji la Mbeya wahukumiwa kwa kuomba na kupokea rushwa 75,000/-

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya imewahukumu Bw. Nelson Mwakilasa ambaye ni msaidizi wa Mkuu wa Masoko na Felister Mwanisongole ambaye ni askari mgambo, wote hao wakiwa ni watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya. Watumishi hao wameamuriwa kulipa faini ya…

Mwenyekiti Serikali ya Mtaa mstaafu Kilungule kizimbani kwa rushwa ya sh. 120,000

Katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni imefunguliwa kesi ya Jinai Namba (Cc.6600) dhidi ya Bw. Benjamini Chales Chuma kwa mashtaka ya kuomba na kupokea rushwa kinyume na kifungu cha 15(1)(a) na 15(2), cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa…

Mudathir Yahya akabidhiwa masandawana

Na isri Mohamed Afisa Habari wa klabu ya Yanga, Ali Kamwe amemtangaza Kiungo wao Mudathir Yahya kuwa ndiye nyota wa mchezo wao dhidi ya Mamelod Sundowns utakaochezwa Jumamosi ya Machi 30, katika dimba la Mkapa. Kamwe amesema kutokana na kiwango…

Urusi yashambulia kituo cha kuhifadhi gesi Ukraine

Kituo cha chini ya ardhi cha kuhifadhi gesi nchini Ukraine kimeshambuliwa jana katika wimbi la karibuni la mashambulizi ya makombora ya Urusi kwenye vituo vya umeme. Hayo yamejiri wakati maafisa wakirejesha huduma za umeme katika miji, kuamuru ununuzi wa umeme…

Matinyi : Anga, barabara vyaimarishwa kuchochea uchumi

Na Lilian Lundo – Maelezo Serikali ya Awamu ya Sita imeendelea kuliimarisha Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa kuwekeza zaidi ikiwemo kununua ndege ili kulifanya limudu kutoa huduma na kuchochea ukuaji wa sekta zingine za kiuchumi. Mkurugenzi wa Idara ya…

ACT-Wazalendo yataka NEC ijiuzulu

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ijiuzulu yote kupisha kuundwa kwa Tume Mpya itakayopatikana kwa utaratibu wa ushindani. Aidha chama hicho kimetaka Mapendekezo yaliyoainishwa na Tume ya Haki…