JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: March 2024

DAWASA yaendelea utoaji vifaa vya maunganisho Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inaendelea na zoezi la utoaji wa vifaa vya maunganisho mapya ya huduma ya majisafi kwa wakazi wote wa maeneo ya Kiharaka, Kiembeni,…

TRA yatoa elimu ya mlipa kodi kwa waendesha bajaji, bodaboda

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema kuwa itaendelea kujenga mahusiano mazuri na waendesha bajaji na pikipiki maarufu kama bodaboda pamoja na kushiriana nao kwani kazi hiyo ni kama kazi zingine. Hayo yameelezwa leo Machi 25, 2024 na…

Nchimbi: Uwepo Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar umeondoa siasa za chuki, uhasama

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amesema uamuzi wa kuwepo kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar (SUK) ulizingatia kutanguliza mbele usalama wa maisha ya watu kuliko maslahi…

RC Chalamila ndege mpya Boeing B 737 -9 kuwasili Machi 26

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametoa taarifa kwa umma, leo Machi 25, 2024 kupitia vyombo vya habari Ofisini kwake Ilala Boma Jijini Dar es Salaam. RC Chalamila amesema ndege…