Month: January 2024
Rais Samia alitaka JWTZ lijikite kwenye kutumia mbinu za kisayansi
Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ) lijikite kwenye kutumia mbinu za kisayansi na teknolojia katika kazi zao ili kudumisha ulinzi na usalama. Rais Samia ameyasema hayo alipokuwa akifungua Mkutano Mkuu wa Saba wa CDF na Makamanda wa…
Mahakama Kuu Kanda ya Shinyanga yasikiliza mashauri yote mwaka 2023
Na Suzy Butondo, JamhuriMedia, Shinyanga Jaji Mfawidhi wa Mahaka Kuu kanda ya Shinyanga Frank Habibu Muhimbali amesema mahakama hiyo imefanikiwa kusikiliza mashauri yote kwa mwaka 2023 yakiwemo mashauri ya migogoro ya ardhi,yakifuatiwa na mashauri ya makosa ya jinai na mauaji…
TANROAD yarejesha mawasiliano ya barabara ya Kunduchi Mtongani ndani ya saa 48
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam TANROAD imefanya jitihada za haraka kurejesha mawasiliano barabara ya Kunduchi Mtongani ndani ya masaa 48 baada ya daraja la Tegeta kingo zake kubomoka kutokana mvua kubwa iliyonyesha Jumamosi kuamkia Jumapili na kusababisha magari…
Mwakinyo : Wakongo ni wacheza bolingo, njooni muone ngumi Jan 27
Na isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar Bondia Hassan Mwakinyo amesema hana hofu yoyote na mpinzani wake Mbiya Kanku kutoka DRC Congo, atakayepigana naye Januari 27, 2024, kwani sifa kuu ya taifa hilo ni kucheza bolingo na si ngumi. Mwakinyo ambaye atapanda…
Simba, suala la ujenzi wa uwanja mmepigaje hapo?
Na Isri Mohamed,JamhuriMedia, Dar es Klabu ya soka ya Simba jana Januari 21,2024 imefanya mkutano wake mkuu wa kujadili katiba yao, kutoa mrejesho wa mapato na matumizi ya klabu kwa mwaka 2023, sambamba na makadirio kwa mwaka 2024. katika mkutano…