JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2024

Waziri Mkuu akutana na Naibu Waziri Mkuu wa China

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Jumanne Januari 23, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Watu wa China, Liu Guozhong ambaye aliwasili nchini jana Jumatatu Januari 22, 2024…

Mil. 622/- kulipa fidia Njombe kwa kaya 31

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amemuagiza Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi kutenga kiasi cha Sh.  milioni  622 kwa ajili ya kulipa fidia kwa kaya 31 za wananchi waliopisha ujenzi wa barabara ya Ndulamo-Nkenja-Kitulo Km 42.2 inayojengwa kwa kiwango cha lami….

Bashungwa : Rais Samia anapiga lami barabara ya Kibena – Lupembe mkoani Njombe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amesema kuwa Serikali inakwenda kuanza ujenzi barabara ya Kibena – Lupembe (km 42) kwa kiwango cha lami ili kuufungua mkoa huo kiuchumi hasa kutokana na kilimo cha chai kinacholimwa katika…

Mo Dewji aendelea kukimbiza utajiri Afrika Mashariki, yumo 20 bora AFRIKA

Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jarida la Forbes limemtaja mfanyabiashara Mtanzania, Mohammed Dewji (Mo) kuwa miongoni mwa matajiri vijana zaidi katika kipindi cha miaka 10 mfululizo akishika nafasi ya 12 Afrika mwaka 2024. Tajiri huyo kijana ameajiri zaidi ya…

EWURA CCC yawajengea uwezo wajumbe 150 wa Kamati za Mikoa za watumiaji wa Nishati na Maji

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Morogoro BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA CCC) kwa uwezeshwaji wa EWURA limefanya mafunzo ya kuwajengea uwezo wajumbe 150 wa Kamati za Watumiaji wa Nishati, Maji na Gesi asilia za Mikoa…

Misri yaipongeza Tanzania kwa kutekeleza mradi wa JNHPP

Waziri wa Nyumba, Nishati na Maendeleo ya Makazi wa Misri, Mhe. Assim Elgazzar ameipongeza Tanzania kwa kutekeleza Mradi wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) ambao umefikia asilimia 95.83 hadi sasa. Waziri huyo ametoa pongezi hizo tarehe 22 Januari, 2024…