JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2024

Ulega amsimamisha kazi Afisa Mfawidhi Kigoma

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amemuagiza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Agnes Meena kumsimamisha kazi Afisa Mfawidhi anayeshughulikia ubora wa samaki kituo cha Kigoma, Bw. Frank Kabitina kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za umma. Waziri…

Dk Biteko ashuhudia utiaji saini mikataba miwili ya kihistoria ya gesi asilia

📌 Ni wa mauziano ya Gesi Asilia na ujenzi wa miundombinu midogo ya LNG 📌 Kuwezesha upatikanaji wa Gesi Asilia katika maeneo yote nchini 📌 Asema Rais, Dkt. Samia anafuatilia kwa karibu miradi ya Nishati 📌 Nchi kuwa na nishati…

Idadi ya wagonjwa wa kipindupindu Mwanza yaongezeka , wananchi watakiwa kuchukua tahadhari

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Wananchi mkoani Mwanza wametakiwa kuchukua tahadhari mbalimbali ikiwemo kunawa mikono kwa maji tiririka,kuacha uuzaji wa vyakula holela katika maeneo yasiyo rasmi hatua itakayosaidia kijikinga na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu. Ra hiyo ilitolewa Jana Jumanne…

Mbunge Msalala ajigama ‘Rais Samia anatubeba’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Msalala MBUNGE wa Jimbo la Msalala, Kahama mkoani Shinyanga, Alhaj Idd Kassimu Idd (CCM) ametamba kwamba, fedha za miradi ya maendeleo zilizotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan, zimeibeba halmashauri hiyo. Akizungumza katika kikao cha wadau wa…

Wanaume watakiwa kuacha kuwaoa wanafunzi badala yake wawaache wavae mavazi mawili

Na Suzy Butondo, JamhuriMedia, Shinyanga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Christina Mndeme amewataka wanaume kuacha kuwaowa wanafunzi wa kike badala yake wawaache wasome na wavae magauni mawili ambayo ni sare za shule na joho la kuhitimu masomo . Pia wazazi…

Msajili Hazina aanza kuita waombaji bodi za mashirika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ofisi ya Msajili wa Hazina imeanza kutekeleza mageuzi katika muundo na utaratibu wa kusimamia mashirika na taasisi za umma hususani katika kuajiri na kufukuza watendaji wakuu wa mashirika hayo. Pia, serikali imetekeleza utaratibu…