JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2024

TANESCO: Upatikanaji umeme Mtwara, Lindi kuwa wa historia

Na Cresensia Kapinga , JamhuriMedia, Tunduru Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamhanga amesema kuwa tayari wamemaliza kufunga  mitambo ya kupooza umeme  kama sehemu ya kuboresha umeme katika maeneo ya mikoa ya Mtwara na Lindi ambayo umeme…

Ziara ya Dk Biteko mkoani Mtwara yachangia mitambo iliyosimama kuanza kuzalisha umeme

📌Kituo cha Afya Msimbati chaanza kujengwa 📌Wananchi Songosongo nao hawajasahaulika 📌RC Mtwara amshukuru Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Ahmed Abbas Ahmed ameeleza kuwa, ziara aliyofanya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Biteko…

Makombora ya Urusi lawajeruhi 11 wakiwemo waandishi wa habari Uturuki

Shambulizi kombora la Urusi lililolenga hoteli moja katika mji wa pili kwa ukubwa nchini Ukraine wa Kharkiv limejeruhi takriban watu 11, wakiwemo waandishi wa habari wa Uturuki waliokuwa wakiripoti vita hivyo, maafisa wa eneo hilo walisema. Urusi imefanya mashambulizi ya…

TANESCO yaimarisha hali ya upatikanaji umeme Tunduru, Nanyumbu na Masasi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tunduru Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limejidhatiti katika kuhakikisha huduma ya umeme inaimarika kwa wilaya za Tunduru, Nanyumbu na Masasi. Amesema hayo Mkurungenzi Mtendaji wa TANESCO Gissima Nyamo-Hanga tarehe 10 Januari 2024 wakati alipotembelea Kituo kipya cha…

Mbunge Cherehani : Wananchi jitokezeni Uchaguzi Serikali za Mitaa

Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Ushetu-Kahama Wananchi wametakiwa kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwaka huu 2024. Mbunge wa Jimbo la Ushetu mkoani Shinyanga Emmanuel Cherehani ameyasema hayo tarehe jana wakati akizungumza na wananchi wa…

Bil 3.7/- zachangwa kuziwezesha timu za Taifa, Rais Samia achangia mil.500/-

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Zaidi ya shilingi bilioni 3.7 zimechangwa ikiwa ni fedha taslimu na ahadi katika hafla ya kuzichangia timu za Taifa za Tanzania ambapo kati ya hizo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amechangia shilingi milioni…