JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: January 2024

Jela miaka 30 kwa kumbaka mtoto wake

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato MKAZI wa kijiji cha Katale Buzirayombo Wilayani Chato mkoani Geita,Hassan Ramadhan (29) amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mapenzi na mwanaye ya kike mwenye umri wa miaka 12…

Mvua za El Nino ni sababu ya ongezeko la mamba Kasahunga na Mayolo – DC Bunda

Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Bunda Mkuu wa Wilaya ya Bunda Dkt. Vicent Anney amesema mvua za El Nino zimekuwa sababu kubwa ya ongezeko la wanyamapori aina ya mamba ambao wamekuwa wakitoka maeneo yao ya asili na kwenda maeneo ya wananchi…

Watoto 10 kufanyiwa upasuaji Zambia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Watoto 10 wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo wanatarajia kufanyiwa upasuaji wa moyo katika kambi maalumu ya upasuaji inayofanyika katika Hospitali ya Taifa ya Moyo ya nchini Zambia. Kambi hiyo ya upasuaji ya siku…

Bunge laipongeza Serikali kwa usimamizi mzuri wa kukabiliana na maafa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imeipongeza Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu kwa Usimamizi mzuri wa kukabiliana na Maafa nchini. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa…

Wanandoa mahakamani kwa kujeruhi jirani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam Februari 19,2024 inatarajia kuanza kusikiliza kesi ya kujeruhi vibaya na kutoa lugha ya matusi inayomkabili wanandoa Bharat Nathwani (Maarufu ka Chiku wa Songea) (57), na mke wake Sangita Bharat Nathwani (54), ambao…