Month: December 2023
Kamati ya siasa ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam yakagua miradi ya TANROAD
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamati ya siasa ya Mkoa wa Dar es Salaam leo Novemba 30, 2023 imefanya ziara ya kukagua barabara zinazojengwa na kusimamiwa na TANROADS ikiwemo hiyo inayotoka Kibamba shule kuelekea Mpiji Magohe yenye urefu…
Laki tano wapima VVU kupitia mradi wa CDC/ PEPFA
………………………………………………. Zaidi ya watu laki tano wamepata huduma ya ushauri nasaha na kupima maambukizi ya Virusi vya UKIMWI kupitia mradi wa CDC/ PEPFA afya hatua katika kipindi cha kuanzia Oktoba 2022 hadi Disemba 2023.Akizungumza wakati ya Kilele cha wiki ya…
Ofisi ya Rais- Utumishi yatembelewa na viongozi wa Serikali katika maadhimisho ya Siku ya UKIMWI
Mkurugenzi Msaidizi Anuai za Jamii na Mratibu wa VVU, UKIMWI na Magonjwa Yasiyoambukiza, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bi. Mwanaamani Mtoo (Katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa ofisi hiyo…