JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: December 2023

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba wabaini kiwanda bubu Arusha

Na Abel Paul,Jeshi la Polisi- Arusha Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba kanda ya kaskazini (TMDA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha iliendesha operesheni maalum ya kuwasaka watu wanaojihusisha na uzalishaji wa dawa bandia ambapo mamlaka hiyo…

Aliyehitimu udaktari HKMU na miaka 21 atoa siri

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MHITIMU wa fani ya udaktari ambaye ni mdogo kuwahi kutokea tangu kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert kairuki (HKMU), Ahlam Azam Mohamed, ametoa siri ya namna alivyofanikiwa kuhitimu akiwa na miaka…

Prof Mkenda : Walimu wakuu kuweni makini na zawadi, misaada inayotolewa mashirika shuleni

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Waziri wa Elimu ,Prof.Adolf Mkenda ametoa rai kwa walimu wakuu nchini kuwa makini na mashirika binafsi , Taasisi zisizo za Kiserikali zinazokwenda kwenye shule zao kutoa misaada ikiwemo miswaki, vidonge kwa wanafunzi ili kuondokana na…

Tanzania yaisihi Marekeni kuendeleza mchango katika kutokomeza UKIMWI

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na Mataifa ya Afrika Kusini na Msumbiji yameisihi Serikali ya Marekani kuidhinisha fedha zitakazochangia katika mwitikio wa UKIMWI kupitia Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani…