Month: December 2023
Mabula amshukuru Rais Samia kwa kutoa fedha za miradi ya maendeleo Ilemela
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ilemela Wenyeviti wa Serikali za Mitaa wametakiwa kutekeleza wajibu wao kwa kufanya mikutano ya hadhara, kusoma mapato na matumizi pamoja na kutatua kero za wananchi. Rai hiyo imetolewa na mbunge wa Jimbo la Ilemela Dkt Angeline…
Maneno ya Naibu Waziri Pinda yataka kumliza diwani wa Kisaki Singida
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Maneno ya Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi l Geophrey Pinda wakati wa kutafuta suluhu ya mgogoro wa ardhi kati ya wananchi wa Kisaki na Mwekezaji wa Sekta ya Nyuki katika eneo…
Ligi Uturuki yasitishwa baada ya rais wa klabu kumpiga ngumi refa
Kiongozi wa mchezo wa kandanda nchini Uturuki wamesimamisha ligi zote baada ya refa kupigwa ngumi na rais wa klabu kufuatia mchezo wa ligi kuu siku ya Jumatatu. Halil Umut Meler alipigwa na rais wa mke Ankaragucu, Faruk Koca, ambaye alikimbia…
Wizara ya Afya yaikumbusha MSD kuzingatia upatikanaji wa bidhaa za afya na zenye ubora
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Afya imeitaka Bohari ya Dawa (MSD) kutambua nafasi yake katika matumizi ya bima ya afya kwa wote na kuzingatia upatikanaji wa bidhaa za afya, ubora na bei zilizo katika muongozo wa matibabu wa…
Serikali kuchukua hatua kwa waliomzushia kifo Makamu wa Rais Dk Mpango
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, ametangaza nia ya serikali kuchukua hatua za waliomzushia kifo Makamu wa Rais Dkt. Phillip Mpango, ili kudhibiti matumizi mabaya ya mtandao na kuwalinda wananchi dhidi ya…