Month: December 2023
Mtambo wa kutibu magonjwa zaidi ya 10 wazinduliwa Muhimbili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Hospitali ya ya Taifa Muhimbili leo imezindua mtambo unaotumia hewa tiba yenye mgandamizo ya oksijeni (Hyperbaric Medicine Treatment) ambao unatibu magonjwa zaidi ya 10 na kuifanya Tanzania kuwa nchi ya kwanza katika Ukanda wa Afrika…
Serikali kuwaondole vikwazo wafanyakazi TANESCO
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira imesema itashirikiana na Shirika la Umeme nchini (TANESCO) kuhakikisha inawajengea mazingira wezeshi wafanyakazi wa Shirika hilo kwa kuwaondolea vikwazo vinavyoweza kuwasababishia matatizo ya Afya ya akili hali…
Endelezeni mila zinazotuunganisha kusaidia kusukuma maendeleo- Sendeka
Na Mary Margwe, JamhuriMedia,Simanjiro Wananchi wa jamii ya Kimasai wametakiwa kuendeleza mila zinazowaunganisha kuwa wamoja na zile ambazo zinasaidia kusukuma Maendeleo chanya na kuwaletea Uchumi imara kwa Taifa. Hayo yamebainishwa Jana na Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Christopher Ole Sendeka…
Walemavu wa viungo wanaweza kuchangia uchumi wa Taifa
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia,Geita “Kulemaa viungo siyo kulemaa akili” Maneno haya yana akisi wazi kuwa unaweza kuwa na udhaifu wa viungo au kukosekana kwa baadhi ya viungo vya mwili wako lakini bado ukawa na akili ya kukusadia kuyafikia malengo yako…
Walemavu wa viungo wanawezs kuchangia uchumi wa taifa
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Geita “Kulemaa viungo siyo kulemaa akili” Maneno haya yana akisi wazi kuwa unaweza kuwa na udhaifu wa viungo au kukosekana kwa baadhi ya viungo vya mwili wako lakini bado ukawa na akili ya kukusadia kuyafikia malengo…