Month: December 2023
Hospitali Tunduru yaanza uchunguzi wa kifua kikuu kwa watoto kupitia haja kubwa
Na Muhidin Amri, JamhuriMedia, Ruvuma Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Hospitali ya Wilaya Tunduru mkoani Ruvuma,imeanza kampeni ya kuwapima maambukizi ya ugonjwa wa kifua kikuu watoto wadogo kupitia haja kubwa kutokana na watoto hao kutokuwa na uwezo wa kutoa…
RC Chalamila apongeza Kampuni ya Derm Group
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametoa pongezi hizo katika sherehe za miaka 25 ya mafanikio ya Kampuni hiyo toka kuanzishwa kwake, hafla iliyofanyika Desemba 16,2023 katika Ukumbi wa Diamond Jubilee Ilala jijini Dar es Salaam. Akiongea…
Serikali kuunganisha mashirika 16, kufuta manne
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imeekeza kuunganishwa mashirika na taasisi 16 na kufuta mengine manne yaliyokuwa chini ya Msajili wa Hazina ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango…
Ulega: Wafugaji lisheni juncao kuongeza mazao ya wanyama
Na Byarugaba Innocent,JamhuriMedia, Pwani Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega ametoa rai kwa wafugaji nchini kuilisha mifugo yao nyasi zilizoboreshwa aina ya Juncao ili kuongeza uzalishaji wa maziwa na mazao mengine yatokanayo na wanyama kuifikia tija kwenye sekta ya…