JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2023

Kongwa kuwa kituo cha urithi wa taifa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Kongwa mkoani hapa imesema ina mpango wa kuboresha miundombinu katika maeneo ya kihistoria wilayani hapo ili kuwa moja ya sehemu zitakazovutia watalii. Hayo yameelezwa mwishoni mwa wiki na Mkuu…

Ndalichako aitaka mifuko ya jamii kutatua kero ya ucheleweshaji mafao kwa wastaafu

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Ajira, Vijana na wenye Ulemavu,Profesa Joyce Ndalichako, ameyaagiza mashirika ya Hifadhi za Jamii hapa nchini kuchukuwa hatua za haraka ili kutatua kero zinazowakabili wastaafu ikiwemo kucheleweshewa mafao yao…

Wavamizi maeneo ya malisho Kiteto wapewa siku saba kupisha maeneo hayo

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Kiteto SERIKALI imetoa siku saba kwa wavamizi wanaofanya shuguli za kilimo kwenye maeneo ya kongani za malisho ya mifugo zilizotegwa kupitia mpango wa matumizi bora ya ardhi za vijiji wilayani Kiteto mkoani Manyara wawe wameshaondoka bila kujali kama…

Rais Samia aboresha huduma za afya Kasulu Vijijini

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Kigoma SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan imepongezwa kwa kuboresha huduma za afya kwa wakazi wa vijijini Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma. Wakiongea na JAMHURI DIGITAL kwa nyakati tofauti baadhi ya…

Biteko aiagiza TANESCO kukata umeme kwa wadaiwa sugu

📌Akemea vikali wahujumu wa miundombinu ya umeme, Asema Serikali iko kazini, Itawashughulikia 📌Ataka TANESCO kusikiliza na kujibu Wateja kwa haraka 📌Asisitiza utunzaji wa Mazingira Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameliagiza…

Dk Biteko atunuku vyeti kwa wahitimu 439 Chuo cha Mweka

📌 Awataka kuchukia rushwa na kulinda Maliasili kwa Wivu Mkubwa 📌Apongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa usimamizi wa Sekta Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametunuku vyeti vya ngazi…