JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2023

Mwakabungu: Walimu 4,900 kunufaika na mafunzo ya utekelezaji wa mtaala mpya

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Pwani Walimu 4,900 wanatarajia kufikiwa na kunufaika na mafunzo ya utekelezaji wa mtaala mpya wa elimu ya awali na msingi unaotarajia kuanza rasmi Januari 2024. Zoezi hilo linaendelea kwenye baadhi ya mikoa nchini kwa lengo la walimu…

Polisi Arusha waja na mbinu mpya kukabiliana na uhalifu

Na Mwandishi Wetu -Jeshi la Polisi- Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limekuja na mbinu mpya ya kukabiliana na matukio ya uhalifu katika mkoa huo ambapo wamewapanga askari katika mitaa yote ambayo watashirikiana na Wananchi wa mitaa husika ili…

Ndalichako aridhishwa na kasi ya ujenzi wa chuo cha walemavu Songea

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Prof. Joyce Ndalichako ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa Chuo cha Wenye Ulemavu Songea na amepongeza uongozi wa Mkoa wa Ruvuma kwa…

Ndalichako afurahishwa na huduma za NSSF Ruvuma kwa kutatua kero za wanachama

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira, vijana na wenye Ulemavu Profesa, Joyce Ndalichako ameonesha kufurahishwa na huduma zinazotolewa na mfuko wa Hifadhi za Jamii (NSSF) mkoani Ruvuma kwani ameshuhudia kuona wanachama wanadai…

Dk Biteko akutana na uongozi wa Chama Cha Kikomunisti cha China

CPC yaahidi kuendeleza ushirikiano katika nyanja za Uchumi, Elimu na Masuala ya Kijamii Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedoa, Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko leo amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa juu wa…