JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2023

Mkuu wa operesheni Kikosi cha Usalama Barabarani atoa tahadhari wa madereva pikipiki Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKUU wa operesheni kikosi cha usalama barabarani Tanzania ,Kamishina Msaidizi wa Polisi Nassoro Sisiwaya ametoa onyo kwa madereva pikipiki wanaopakia mishikaki ,kufanya mbwembwe barabarani na kuacha mara moja kupita katika makutano ya barabara bila kuchukua…

Serikali kupitia MSD yakabidhi vifaa tiba vya mil.900/- Ifakara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ifakara SERIKALI kupitia Bohari ya Dawa (MSD), imekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya sh milioni 900 kwa Halmashauri ya Ifakara mji. Akizungumza jana Mkoani humo Mbunge wa Kilombero Abubakar Asenga, amesema ujio wa vifaa hivyo, utasaidia…

Walinda amani wa Tanzania nchini Afrika ya Kati wavishwa nishani

MKUU wa Tawi la Utumishi Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Meja Jenerali Marco Elisha Gaguti amewavisha nishani kikosi cha Walinda Amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Tanzania (TANBAT6) wanaolinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati. Akitoa…