JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2023

Wanaharakati watakiwa kupambana na mfumo dume kuanzia ngazi za kaya

Na Zulfa Mfinanga, Jamhuri Media,Dar es Salaam Wanaharakati wa jinsia wametakiwa kuhakikisha kuwa elimu ya Usawa wa Kijinsia pamoja na elimu ya haki sawa inatolewa kuanzia ngazi ya familia kwa kuwashirikisha watu wote bila kubagua ili kila mmoja ndani ya…

Kapinga : REA ongezeni kasi ya kuunganisha umeme wananchi katika vijiji vyenye umeme

Ataka wasimamizi wa miradi ya REA kuongeza ufanisi Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amewaagiza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuongeza kasi ya kuwaunganishia umeme wananchi vijijini katika maeneo ambayo tayari yamefikiwa na miradi ya usambazaji umeme ili miradi…

Waziri Silaa apania kumaliza migogoro ya ardhi Jiji la Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amesema Wizara yake itahakikisha kero zote za migogoro ya ardhi zinakwisha katika Jijini la Dodoma ikiwa ni hatua muhimu ya utekelezaji rasmi maagizo ya Rais Dkt….

Biteko ashiriki mazishi ya kaka wa Waziri Mkuu Majaliwa

Asisitiza Watanzania wanaupendo wa dhati kwake #Waziri Mkuu Majaliwa awashukuru Watanzania kwa kumfariji Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameungana na Viongozi mbalimbali wa kitaifa na Watanzania kwa kutoa salamu za pole kwa Waziri Mkuu…