JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2023

Madaktari Muhimbili wamtoa mtoto kipande cha plastiki kwenye mapafu alichoishi nacho miezi 23

Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili wamefanikiwa kutoa kipande cha plastiki kwenye pafu la kushoto la mtoto mwenye umri wa miaka 11, kupitia kifaa maalumu kinachoitwa Flexible Bronchoscopy. Kifaa hicho kinatumia mpira laini wenye kamera ya uchunguzi wa mapafu…

Mawaziri wa fedha, Jinsia wa nchi za Afrika kukutana Tanzania

Na WMJJWM, Dae Es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Wanawake na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kupitia taasisi yake ya IMF Afritac East (AFE) imeandaa Mkutano wa…

RUWASA yatahadharisha watumiaji maji ya mvua

Na Dotto Kwilasa,JAMHURI MEDIA,Dodoma Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (RUWASA)imewashauri wananchi wanaopendelea kutumia maji ya mvua kuwa na uelewa mpana wa uvunaji, uhifadhi na matumizi sahihi wa maji hayo ili kuepuka maradhi yatokanayo na vumbi, moshi na gesi…

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma awataka wananchi kutunza mazingira na miundombinu

Na Cresensia Kapinga, Songea. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Kanali Laban Thomas amewaasa wakazi wa Vijiji vilivyo jirani na daraja la mto Mhuwesi wilayani Tunduru kuona umuhimu wa kutunza mazingira pamoja na miundo mbinu ya Daraja hilo ili liweze kupitika kwa…

Viwanda vya uchenjuaji madini huchangia Bil.3.2 kila mwezi

Na Samwel Mtuwa – Geita Imeelezwa kuwa Viwanda vya Uchenjuaji Madini Mkoani Geita vimeongeza tija katika biashara ya madini nchini ambapo kiasi cha Shilingi bilioni 3.2 hukusanywa kila mwezi kupitia vituo hivyo. Hayo yamebainishwa Novemba 12 , 2023 na Waziri…

Dkt.Biteko:Fanyenu kazi zenye matokeo chanya

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA, Dar es salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewasisitiza Watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu kufanya kazi kwa ushirikiano ili kazi hizo zilete matokeo chanya kwa wananchi. Ameagiza hayo hivi…