JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2023

ICTC kujenga vituo nane vya TEHAMA Tanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Serikali inakusudia kujenga vituo nane (one-stop centres) nchini vya ubunifu wa teknolojia vitakayowezesha vijana na wananchi kwa ujumla kuvitumia kuboresha kazi zao za kibunifu. Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Tehama (ICTC), Dkt. Nkundwe Mwasaga, ameyasema…

Kiwango cha upatikanaji chakula chapaa Umasikini wa chakula ukipungua

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Dar es Salaam.Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande amesema kwa sasa Tanzania kiwango chaupatikanaji wa chakula kimeongezeka na hali ya umaskini wa chakula imepungua. Amesema ahueni hiyo ni kutokana na mchango wa Benki ya…

Malalamiko ya wananchi Msimbati yamuondoa meneja mawasiliano TPDC, katika ziara ya Dk Biteko

📌Aagiza Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja Tanesco kuondolewa 📌Asisitiza miradi ya mafuta ya Gesi Asilia kubadilisha maisha ya wananchi Msimbati – Mtwara Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza kuondolewa kwa Meneja Mawasiliano wa Shirika…

Waziri Mkuu mgeni Rasmi kilele cha Siku ya UKIMWI

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi Siku ya Kilele cha Maadhimisho ya UKIMWI Duniani itakayofanyika kitaifa December 1 mwaka huu mkoani Morogogo. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,…

CBE na DSE kuwapa wanafunzi mbinu za masoko

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeingia makubaliano ya kuwapa mafunzo ya vitendo wanafunzi wake kwa kuwapa mbinu za masoko ya mitaji na ya ajira ili waweze kujiajiri na kuajirika baada ya kujitimu….

Mfanyabiashara amuomba Majaliwa kuingilia kati upatikanaji mshindi wa zabuni ya Jamhuri Pack Tanga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tang Mfanyabiashara wa jijini Tanga, Sultan Salim, amemuomba Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kuingilia kati mchakato wa upatikanaji wa mshindi wa zabuni wa eneo la Jamhuri Pack ‘Forodhani’ jijini humo. Kauli hiyo imekuja baada ya mfanyabiashara huyo…