JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2023

TEF yatembelea ofisi za tatu mkoani Lindi

Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limefanya ziara katika ofisi tatu za Mkoa wa Lindi, kutoa shukrani kwa ushirikiano walioupata wakati wa Mkutano Mkuu wa Saba wa jukwaa hilo uliofanyika mkoani humo. Maofisa wa jukwaa hilo walitembelea katika Ofisi ya Mkurugenzi…

Wanafunzi 3,000 CBE kunufaika elimu uhasibu na fedha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia KATIKA jitihada za kuandaa wahitimu wanaoendana na soko la ajira duniani, Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeanzisha ushirikiano na kampuni ya RSM Eastern Africa ili kuwajengea uwezo wanafunzi wake katika eneo la uhasibu na elimu…

Rais Samia ateua mabosi wa bodi hizi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa venyeviti wa bodi mbalimbali Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya mawasiliano ya Rais ikulu leo Novemba 18, 2023 imeeleza kuwa; Rais Samia amemteua Mwamini Juma Malemi kuwa Mwenyekiti…

Tanzania,Romania kuimarisha ushirikiano, zatia saini makubaliano maeneo haya

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Dar es Salaam. Tanzania na Romania zimekubaliana kuimarisha ushirikiano katika maeneo ya kimkakati ikiwemo afya, kilimo, elimu, mazingira na madini. Pia zimetia saini hati za makubaliano kushirikiana kwa pamoja kukabiliana na maafa na misaada ya…

Watatu wahukumiwa kunyongwa mpaka kufa kwa kosa la mauaji

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA, Iringa. Mahakama Kuu Kanda ya Iringa imewahukumu watu watatu kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuua kwa kukusudia na wawili miaka mitatu kwa kosa la kushiriki katika mauaji. Katika hukumu iliyotolewa mbele ya Jaji A.E….

Picha:Rais Samia ampokea Rais wa Romania ikulu

Rais Samia Suluhu Hassan, amempokea Rais wa Romania, Klaus Werner Iohannes, Ikulu Dar es Salaam katika ziara ya kitaifa, leo Novemba 17, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Mgeni wake…