JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2023

Majaliwa atembelea maonesho kabla kabla ya kufungua Wiki ya Huduma ya Fedha

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Kisongo Arusha ambako alifungua  Maadhimisho ya Wiki ya  Huduma ya Fedha kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini humo, Novemba 22, 2023. Wa pili kushoto ni Mkuu…

Dkt.Biteko akagua majengo ya Wizara ya Nishati; Sera,Uratibu na Bunge-Mtumba

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA, Dodoma. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko leo amekagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi za Wizara ya Nishati na Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) katika Mji wa Serikali-…

Halmashauri Kuu Pwani yampa maua yake RC Kunenge kwa usimamizi wa ilani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani HALMASHAURI Kuu ya CCM Mkoa wa Pwani, imeridhishwa na usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Serikali mkoa ambao umetekelezwa kwa asilimia 98 :”;pamoja na kumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupeleka trilioni…

Al-Shabab kuondolewa Somalia

Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud amesema taifa hilo lina muda wa mwaka mmoja kuliondoa kundi la wanamgambo wa Al-Shabaab Agizo hilo limekuja huku muda wa mwisho wa wanajeshi waliosalia wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika kuondoka ukikaribia mwezi…

Serikali yakabidhi vifaa tiba vya milioni 100/- Kituo cha Afya Magazini Namtumbo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Namtumbo Bohari ya Dawa (MSD) imekabidhi vifaa tiba vya kisasa vya upasuaji kwa Kituo cha Afya cha Magazini kilichopo Kata ya Magazini Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma vyenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 100….

Wizara yazinadi leseni 441 za utafutaji madini

Miradi ya STAMICO yatajwa London Wizara ya Madini imezinadi Leseni zipatazo 441 za utafutaji wa madini muhimu na mkakati na leseni 46 kwa ajili ya uchimbaji wa madini hayo ambazo ni fursa kwa wawekezaji kwa ajili ya kuingia ubia na…