JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: October 2023

Watanzania wanahitaji wapate mafuta kwa urahisi- Dk Biteko

#Apongeza utaratibu wa upokeaji na upakiaji mafuta #Ujenzi wa Flow meter Kigamboni wafikia asilimia 93 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Dalaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, Watanzania wanahitaji wapate mafuta kwa urahisi…

Waziri Mavunde awaeleza wachimbaji wakumbwa, wa kati mwelekeo wa wizara

Asisitiza kuondoa vikwazo, urasimu Aweka Msisitizo Uchumi wa Madini Mkakati Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ikiwa ni Jitihada za Serikali kuendelea kuweka mazingira rafiki ya kiuwekezaji katika Sekta ya Madini nchini, Wizara ya Madini na Chemba ya migodi zimekutana Oktoba 27,…

EWURA yafungia vituo viwili vya mafuta kwa kuhodhi mafuta

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji EWURA imevifungia vituo viwili vya Mafuta GAPCO Tanzania Limitedi Moshi Service Station,leseni no PRL-2023-104 na Anwar Saleh BakhamisT/A Serious Oil Petrol Station,Leseni na PRL-2019-228…

Dk Mpango akabidhi hatimiliki za kimila Makete

Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Njombe Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdori Mpango amekabithi Hati ya Hakimiliki za Kimila kwa wananchi wa Wilaya ya Makete Mkoa wa Njombe. Dkt. Mpango amekabidthi hati saba za mfano…

Historia yaandikwa sekta ya madini

Leo saa kumi alfajiri mtambo wa kuchoronga umeanza kazi rasmi ya utafiti wa Helium katika bonde la Rukwa. Inaaminika kwamba reserve ya Helium iliyopo mkoani Rukwa ni ya tatu kwa uwingi Duniani nyuma ya Marekani na Qatar,utafiti huu utatupa picha…

Rais Samia apeleka bil.35/- kumaliza kero ya maji Kasulu

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Kasulu Kero ya maji katika Halmashauri ya Mji Kasulu imepata mwarobaini baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kupeleka zaidi ya sh bil. 35 ili kuboreshwa miundombinu ya vyanzo vya maji vilivyopo na ujenzi wa tenki kubwa…