JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: October 2023

Katibu Msigwa akabidhi Twiga Stars milioni 10, goli la mama

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sana na Michezo Bw. Gerson Msigwa akimkabidhi Nahodha wa timu ya Twiga Stars Joyce Lema kitita cha Sh. Milioni 10 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kufuatia…

Tanzania kupokea ndege kubwa ya Masafa ya kati kesho

Na Wilson Malima Dar es Salaam. Shirika la ndege Tanzania (ATCL) linatarajia kupokea ndege ya abiria ya masafa ya kati aina ya B737-9MAX ambayo uundaji wake umekamilika itakayowasiri kesho Oktoba 03, 2023. Ndege hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 181…

RC Chalamila ataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya majanga ya moto

RNa Mwandishi Wetu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Octoba 1, 2023 amefika eneo la ajali ya moto Kariakoo jijini Dar es Salaam ambapo moto umetokea majira ya asubuhi na kusababisha kuteketea jengo moja pamoja na…

Migodi midogo Geita kuunganishwa umeme wa REA

Na Lilian Lundo na Veronica Simba, JamhuriMedia Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Wakala wa Nishati Vijijini (REA) tayari ameanza kazi ya kuunganisha umeme kwenye migodi midogo midogo wilayani Geita, ili kuwapunguzia gharama za…