JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: October 2023

Waziri Mavunde apokea changamoto za wachimbaji wadogo Itumbi

Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Chunya Waziri wa Madini Anthony Mavunde apokea changamoto mbalimbali za wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu wilayani Chunya mkoani Mbeya katika machimbo ya Itumbi akiwa katika ziara maalum ya kikazi. Waziri Mavunde akiambatana na Mkuu wa Wilaya…

TaSUBa kitovu cha mafunzo tasnia za sanaa na utamaduni nchini- Dk Biteko

#Amefunga tamasha la 42 la Kimataifa la Utamaduni Bagamoyo #Aipongeza Wizara kwa kutangaza utamaduni wa nchi #Sanaa iwe nyenzo kuunganisha wananchi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Imeelezwa kuwa, Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) ni kitovu cha mafunzo katika tasnia…

Mifugo 400 yakamatwa ikisafirishwa nje ya nchi bila kuwa na vibali

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi limefanikiwa kukamata jumla ya mifugo 400 ambayo ilikua inasafirishwa kwenda Nje ya Nchi bila kufuata utaratibu. Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kuzuia Wizi…

Dk Mpango ashauri taaasisi za fedha kuweka masharti ya upendeleo mikopo ya viwanda vidogo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Taasisi za fedha nchini kuweka masharti ya mikopo ya upendeleo kwa Viwanda vidogo na vya kati ili kukuza uzalishaji na…

Biteko afanya mazungumzo na ujumbe wa Iran

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa watu wa Iran ukiongozwa na Balozi wake nchini Tanzania, Mhe. Hossein Alvandi Bahineh tarehe 27 Oktoba, 2023 jijini Dar es Salaam. Pamoja…

Wazee watakiwa kushirikiana kutatua changamoto za mmomonyoko wa maadili

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima amewataka wazee nchini kushirikiana kutatua changamoto za mmonyoko wa maadili ili kuwa jamii inayojali usawa. Aidha amevitaka vyama vinavyoshughulika na masuala ya Wazee nchini…