JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: October 2023

Rais Dk Samia kufanya ziara nchini India

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani anatarajiwa kufanya ziara ya Kitaifa nchini India Oktoba 8 hadi 1, 2023 akiambatana na wafanyabiashara kuangalia fursa za kibiashara na uwekezaji kiuchumi. Akitoa taarifa hiyo…

Mpanju awataka wataalam ngazi ya kata kutekeleza maendeleo ngazi ya msingi kwa wakati

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma NAIBU Katibu Mkuu,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na makundi maalum Wakili Amon Mpanju amewataka Viongozi wataalamu ngazi ya kata kuhakikisha wanaweka mpango kazi unaopimika wa utekelezaji maendeleo ngazi ya masingi kwenye maeneo yao ili kuakisi maudhui ya…

Naibu Waziri Nishati awahimiza wananchi kutumia nishati mbadala Songea

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea NAIBU Waziri wa Nishati Judith Kapinga amewahimiza wananchi kuona umuhimu wa kutumia nishati mbadala na amewataka kuacha kutumia nishati ambazo si rafiki kwa mazingira kwa lengo la kutunza mazingira kwa ajili ya vizazi vya sasa…

TASAC yapata mafanikio makubwa kutoka bil.9.1/- hadi bil. 43.4/- kutokana na usikivu wa Serikali

Usikivu wa Serikali umeiwezesha TASAC kuongeza gawio kutoka bil.9.1 hadi bil.43.4 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), limesema usikivu wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu…

CBE yasisitiza kuzingatia huduma bora kwa wateja

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimewataka walimu na wafanyakazi wa chuo hicho kuboresha huduma kwa wateja na kujiandaa kutoa mafunzo kidijitali ili kuendana na ongezeko kubwa la wanafunzi linalokua mwaka hadi mwaka. Hayo yalisemwa…

Jokate Mwegelo: Kutoka Miss Tanzania, Muigizaji, DC hadi Katibu Mkuu UWT

Na Isri Mohamed Jamhuri Media Dar es Salaam. Oktoba 01, Chama Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana katika kikao chake maalumu  jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wake na Rais Samia Suluhu Hassan imemteua…