JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: October 2023

Kampuni binafsi za upimaji ardhi kikaangoni

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza kampuni zote zilizopewa kazi za upimaji wa viwanja kwenye Jiji la Dodoma na zimeshindwa kukamilisha kazi hiyo, ziwe zilikuwa na mikataba ama hazikuwa na mikataba zichukuliwe hatua kali za kisheria kutokana na…

Dar kuwa na siku maalumu ya kuthamini kazi ya mwalimu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Okyoba 5, 2023 ametangaza rasmi kuwepo kwa siku maalum ya kuthÄ«amini mchango wa kazi ya Mwalimu katika Mkoa huo. RC Chalamila amesema hayo wakati akihutubia mamia…

Serikali yawataka wawekezaji kuhodhi maeneo yaliyotengwa kwa uwekezaji Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani SERIKALI mkoani Pwani, imeagiza wawekezaji wanaohitaji kuwekeza mkoani humo wahakikishe wanahodhi maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji pamoja na kongani ,ili kuepuka kufanyiwa utapeli na kununua maeneo yaliyo kwenye migogoro ya ardhi. Aidha halmashauri za…

Kunenge awaasa wakulima wa korosho kulima kilimo chenye tija

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mkuranga Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,Abubakar Kunenge ,amewaasa wakulima wa zao la korosho ,kuhakikisha wanalima kilimo cha kisasa chenye tija ili kupata korosho zenye ubora na kujiongezea kipato. Aidha ametoa rai kwa wataalamu wa kilimo…

Msigwa akabidhi kijiti kwa Matinyi

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Aliyekuwa Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo), Gerson Msigwa amekabidhi rasmi kijiti kwa mrithi wake Mobhare Matinyi huku akiahidi kuteleleza kwa vitendo majukumu yake ya sasa na kumshukuru Rais Samia Suluhu…

Serikali yaja na mpango wa kusimamia maendeleo ngazi ya kata

Na WMJJWM-Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum na Ofisi ya Rais TAMISEMI imeandaa mpango mkakati wa kusimamia maendeleo kuanzia katika ngazi ya Kata utakaoshirikisha wananchi kuwajengea uwezo wa kushiriki na kufuatilia utekelezaji wa…