JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: October 2023

Mloganzila yaanzisha huduma ya kurekebisha muonekano wa mwili

Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa mara ya kwanza nchini itafanya huduma za kibingwa bobezi za upasuaji wa kupunguza uzito na upasuaji rekebishi (Bariatric and Reconstructive surgery) kuanzia tarehe 27.10.2023. Mkuu wa Idara ya Upasuaji Dkt. Eric Muhumba amesema upasuaji huo…

UN : Biashara na matumizi dawa za kulevya ni uhalifu dhidi ya utu na heshima ya binadamu

*Guterres asema nchi nyingi zenye kipato cha chini zina mifumo dhaifu TANGU mwaka 1989, Jumuiya ya Kimataifa imekuwa ikiadhimisha Siku ya Kupambana na Biashara na Matumizi Haramu ya Dawa za Kulevya Duniani kila Juni 26. Ofisi ya Umoja wa Mataifa…

Tanzania yafanikiwa kudhibiti ukeketaji mipakani

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza katika mdahalo ulioshirikisha Mawaziri wa Jinsia kutoka nchi za wanachama wa umoja wa Afrika wa Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa kutokomeza Ukeketaji Oktoba 10, 2023…

Wizara ya Afya yasaini makubaliano ya ushirikiano na taasisi za afya nchini India

New Delhi, India Wizara ya Afya Tanzania na Taasisi za Afya nchini India zimeingia makubaliano ya ushirikiano ya kuboresha huduma za afya na uzalishaji wa bidhaa za afya nchini Tanzania. Shughuli ya kusaini hati za makubaliano hayo imeshuhudiwa na Rais…

Waziri Silaa: Pisheni eneo la chanzo cha maji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida WANANCHI wa Mwankoko katika Manispaa ya Singida wanaotakiwa kupisha mradi wa chanzo cha maji cha Mwankoko wametakiwa kuridhia fidia waliyopewa na kupisha eneo la chanzo hicho kinachotumika na wakazi wa mji wa Singida. Agizo hilo…

Waziri Mhagama, azindua muongozo wa uwekezaji Manyara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama ametoa wito kwa watendaji wa Serikali; kujipanga na kuhakikisha Muongozo wa uwekezaji kwa Mkoa Manyara unawafikia wananchi wote ili kufanya kazi kwa…