JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: October 2023

Halmashauri zatakiwa kupima afya ya udongo ili kuwasaidia wakulima

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora HALMASHAURI za wilaya nchini kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) wametakiwa kutembelea wakulima vijijini na kuwasaidia kupima afya ya udongo ili kutambua aina ya mazao yanayofaa kulimwa katika maeneo yao. Ushauri huo…

Possi: TRC kamilisheni haraka mradi wa treni ya kisasa Dar-Moro-Dodoma

Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Tabora Shirika la Reli nchini (TRC) limetakiwa kuhakikisha vipande viwili vya mradi wa reli ya kisasa (SGR) kutoka DSM–Moro na Moro-Makutupora (Dodoma) vinakamilika haraka ili wananchi waanze kutumia treni hiyo. Agizo hilo limetolewa mwishoni mwa wiki…

Wanahabari wa Afrika watakiwa kuisaidia Afrika

Na Immaculate Makilika – MAELEZO, Misri Wanahabari wa Afrika wametakiwa kubadili mitazamo yao kuhusu fursa zilizopo Afrika ikiwa ni pamoja na kulisaidia bara hilo. Akizungumza na Wanahabari kutoka nchi za Afrika wakati akifungua Mafunzo kuhusu Utangazaji kwa nchi za Afrika…