JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: October 2023

Kyela wasifiwa matumizi ya biogesi

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA, Mbeya. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Khamis Hamza Khamis amefanya ziara ya kukagua Mradi wa Kuhifadhi Ardhi katika Bonde la Ziwa Nyasa katika Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya. Katika ziara…

Simbachawene apigia chapuo watumishi wachapakazi kutambuliwa.

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA, Tanga. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,  George Simbachawene ametoa wito kwa Waajiri na Maafisa Utumishi katika taasisi za umma kuwatambua watumishi wenye uwezo kiutendaji ili wapate motisha ya kuendelea…

EU na Tanzania kuingia mkataba wa ushirikiano katika tafiti za kina.

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA, Cape Town Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa amewakaribisha Wawekezaji kuja Tanzania kuwekeza katika Utafiti, Uchimbaji pamoja kujenga Viwanda vya kusafishia Madini, ili kuongeza thamani kabla ya kusafirishwa kwa ajili ya kuuzwa nje ya…

Watanzania waliokuwa Israel warejeshwa nyumbani

Na Mwandishi Wetu Watanzania 9 waliokuwa nchini Israel wamerejea nyumbani na kulakiwa na Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki Stephen Byabato katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini…