JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: October 2023

Serikali yatoa rai, viongozi Njombe kutunza vyanzo vya maji.

Na Mwandishi wetu JAMHURI MEDIA, Njombe. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Khamis Hamza Khamis amewataka wananchi kutunza vyanzo vya maji ili viwanufaishe na kuhifadhi mazingira. Amesema hayo wakati akizungumza na wananchi akiwa kwenye ziara ya…

Huduma ya kuvunja mawe kwenye figo ilivyowanufaisha 480 Mloganzila.

Na Mwandishi wetu JAMHURI MEDIA, Dar es Salaam. Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imehudumia zaidi ya wagonjwa 480 waliokuwa na changamoto ya mawe kwenye kwenye figo kwa kutumia mashine maalumu ya kuvunja mawe kwenye figo kwa kutumia mawimbi mtetemo ((Extracorporeal Shock…

CAF wampa zawadi Rais Samia

Na Wilson Malima JAMHURI MEDIA, Dodoma. Rais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amepewa zawadi ya Bendera (Pennant) ya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) kutoka kwa Rais wa Shirikisho hilo Dkt. Patrice Motsepe. Rais Samia…

RC Chalamila akutana na wadau wa usafirishaji DSM

Na mwandishi Wetu, Dar es Salaam. Leo Oktoba 18, 2023 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amekutana na wadau wa usafirishaji katika mkutano maalum uliofanyika katika ukumbi wa mikutano Arnatoglo Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam. Chalamila amewashuru…

RC Chalamila azindua zoezi la ugawaji vyandarua kwa wanafunzi wa shule za Msingi.

Na Mwandishi wetu Jamhuri Media Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Oktoba 18, 2023 amezindua zoezi la ugawaji vyandarua kwa wanafunzi wa shule za msingi Mkoani humo, Uzinduzi ambao umefanyika Katika ukumbi wa…

Wananchi wa Zepisa waomba serikali iwakumbuke kuwapatia maji, umeme na barabara

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wananchi wa Mitaa ya Zepisa A na B kata ya Hombolo,Jijini Dodoma wameilalamikia Serikali kuwatelekeza na kushindwa kuwapa huduma ya maji, umeme na miundombinu ya barabara hali inayokwamisha maendeleo. Wamesema adha hiyo kwa muda mrefu toka mwaka…