JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: October 2023

Rais Mwinyi afungua Hospitali ya Wilaya ya Kivunge Kaskazini Unguja

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapindizi DK Hussein Ali Mwinyi kulia akisalimiana na Viongozi wa Chama na Serikali mara baada ya kuwasili Kivunge kwa ajili ya kufungua Hospitali ya Wilaya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Wilaya ya Kaskazini…

Waziri Silaa awasimamisha kazi watumishi 11 Mwanza, Dodoma, TAKUKURU kuwachunguza

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amewasimamisha kazi watumishi 11 waliokuwa wakifanya kazi katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza na Dodoma kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazowakabili. Hatua hii ni utekelezaji wa maelekezo…

Mfumo wa kielektroniki wa kudhibiti ununuzi wa mafuta serikalini wazinduliwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,nDodoma Matumizi sahihi na salama ya mifumo ya kieletroniki Serikalini, yametajwa kuwa suluhisho la kudumu katika kuziba mianya ya upotevu wa rasilimali za serikali ikiwemo mapato yatokanayo na vyanzo mbalimbali nchini. Hayo yameelezwa jijini Dodoma na Waziri…

Tanzania kujifunza utafiti, uvunaji, uendelezaji madini chini ya sakafu ya Bahari Kuu

*Yawa ya Kwanza Barani Afrika kuwa Mwenyeji Mkutano wa Wakandarasi Waliowekeza kwenye Madini Chini ya Sakafu ya Bahari KUU* Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Madini kwa mara nyingine imeweka Historia ya kuwa Nchi ya Kwanza…

Waziri Ndumbaro ashuhudia TP Mazembe ikipata alama tatu kwa Mkapa

Na Shamimu Nyaki Waziri wa Utamaduni, Sanaa na MichezoDkt. Damas Ndumbaro ameshuhudia mchezo kati ya TP Mazembe ya DRC Congo dhidi ya Esperance Sportive de Tunis ya nchini Tunisia ikiwa ni mchezo wa mashindano ya African Football League ambao umemalizika…