JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: October 2023

Bodi ya ushauri ya Wizara ya Afya kwa TMDA yazinduliwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Afya Ummy Mwalimu leo Oktoba 23, 2023 amezindua rasmi bodi mpya ya ushauri ya Wizara ya Afya (MAB) kwa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) ambayo inawajumbe saba. Waziri Ummy wakati akizindua…

Prof. Ndalichako awataka mawakala wa ajira kuzingatia utu

NA Mussa Augustine, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu ,Kazi,Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu Profesa Joyce Ndalichako amewataka Mawakala Binafsi wa Ajira ndani na nje wanapowatafutia Watanzania ajira nje ya nchi wazingatie utu na kwamba wasipofanya…

Watanzania washauriwa kubadilika kulingana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia ili kuongeza ufanisi

na Mwandishi Wetu, JamburiMedia, Arusha Watanzania wametakiwa kubadilika kulingana na kasi ya mabadiliko ya sayansi na teknolojia, ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi na utoaji huduma, ikiwa ni pamoja na kujua aina bora ya matumizi ya yeknolojia na kukabiliana na…

Rais Samia awasili Zambia apokelewa na Rais Hichilema

Na Wilson Malima, Lusaka ZambiaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan tayarì amewasili Ĺusaka Zambia kwa ajili ya ziara ya siku tatu Oktoba 23 hadi 25, 2023. Rais Samia amewasili na kupokelewa na mwenyeji wake Rais…