JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2023

DC Matinyi aeleza mtiririko fedha za Rais Samia zilivyoinga’isha Temeke

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Wilaya ya Temeke mkoani Dar es Salaam, Mobhare Matinyi, amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha nyingi za miradi ya maendeleo kwa ajili ya wananchi wa wilaya…

Dkt. Yonazi: Global Fund yaimarisha sekta ya afya nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi ameupongeza na kuushukuru Mfuko wa Dunia (Global Fund) kwa mchango mkubwa unaoutoa katika kuendeleza mapambano dhidi ya magonjwa ya…

RC Chalamila amshukuru Rais Samia utekelezaji wa miradi Temeke

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametoa shukrani hizo leo Agosti 28, 2023 katika ziara yake ya kutembelea na kukagua mradi wa Barabara Nzasa-Kilungule, Ujenzi wa Hospitali ya Ghorofa sita (6) na Ujenzi…

Mifumo inavyowatenga watoto wa mitaani na kuwanyima haki zao

Na Hassan Aufi, JamhuriMedia Mtazamo wa Wataalamu wa Sosholojia (Sociologist) kuhusu tatizo la watoto wanaoishi na kufanyakazi mtaani, unaonyesha kuwa hali hii inajitokeza kutokana na kukosekana uimara kwenye mifumo ya kimalezi ya familia zetu na kwa kiasi kikubwa katika mifumo…