JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2023

Upatikanaji dawa, vifaa tiba Muhimbili, Amana wafikia asilimia 97

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Hospitali ya Taifa Muhimbili na Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Amana Amana zimesema upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwa sasa ni asilimia 97. Akizungumza jijini Dar es Salaam Mfamasia wa Hospitali ya Muhimbili Nelson Faustine…

Dk Mpango avutiwa na wabunifu wa COSTECH Nanenane Mbeya

Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango, amekiri kuvutiwa na uwezeshaji kwa wabunifu wazawa unaofanywa na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), aliyoitaka kuhakikisha inaenda mbali zaidi kwa kukifanyia kazi kilio chao cha kutaka kuwapatia Mafunzo ya Mifumo ya Kielektroniki, Ili…

Serikali ilivyodhamiria kuifungua Wilaya ya Nyasa

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Mbambabay Serikali imetenga shilingi bilioni 22 kuanza kujenga daraja la Mitomoni katika mto Ruvuma linalounganisha wilaya ya Nyasa na Songea mkoani Ruvuma. Haya yalisemwa hivi karibuni na Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Gofrey Kasekenya wakati…

Iran yatoa likizo ya siku mbili kutokana na joto kali

Iran imetangaza likizo ya siku mbili kwa wafanyakazi wa Serikali na benki kutokana na hali ya joto inayoongezeka kote nchini humo. Uamuzi huo umewadia wakati nchi duniani kote, ikiwa ni pamoja na Iran, zinakabiliwa na ongezeko la joto la kihistoria…

Ukosefu wa dola ya Marekani waathiri bei ya mafuta nchini

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini Tanzania, EWURA, imetangaza bei mpya za mafuta ambazo zinaonesha, mafuta aina ya Petroli imepanda kwa shilingi 443 na dizeli ikipanda kwa shilingi 391 kwa kila lita moja kwa mafuta yanayouzwa…

Uingereza kuibeba bendera ya Tanzania kutangaza fursa za uwekezaji, biashara zilizopo sekta ya madini

Wizara ya Madini na Serikali ya Uingereza kupitia Ubalozi wake nchini zimekutana leo Agosti 1, 2023 katika ofisi za Wizara Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma ili kujadiliana kuhusu fursa mbalimbali za uwekezaji katika Sekta ya Madini nchini na kuzitangaza…