Month: August 2023
Dk Biteko:Tusiruhusu viongozi wa nchi Yetu wakatwezwa utu wao
Na Mathias Canal, Katoro-Geita Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Mhe Dkt Doto Mashaka Biteko (Mb) ambaye pia ni Waziri wa Madini amekemea vikali kejeli, kutweza utu wa viongozi na kauli za kuudhi ikiwemo matusi. Amesema kuwa Rais…
PICHA: Rais Samia ndani ya Simba Day kwa Mkapa
Picha za matukio mbalimbali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika uwanja wa Benjamini Mkapa katika kilele cha Klabu ya Simba (Simba Day) kama mgeni raami leo Agosti 06, 2023
Biteko ampa heko Rais Samia ujenzi wa ICU wilaya ya Bukombe
Na Mathias Canal, Bukombe-Geita Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa kutoa fesha kiasi cha shilingi 300,000,000 kwa ajili ya Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa dharura katika hospitali ya Wilaya ya Bukombe. Mradi…
CCM Zanzibar yajipanga majimbo yote kubaki 2025
Na Haji Mtumwa, Zanzibar Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Hemed Suleiman Abdulla amesema Chama Cha Mapinduzi kimejipanga kuhakikisha Majimbo yote yanabaki kuwa chini ya CCM ifikia Uchaguzi wa Dola wa mwaka 2025. Mjumbe huyo wa…
Katibu Mkuu: Serikali yaunga mkono UNI AWARDS
Na Eleuteri Mangi, WUSM Dar es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Saidi Yakubu ametoa tuzo UNI AWARDS na kusisitiza kuwa Serikali inashirikiana na taasisi za kifedha za benki ya CRDB na NBC na wafadhili wengine ndani…
DC Same awaonya viongozi wanaotengeneza migogoro ya ardhi
Mkuu wa wilaya ya same Kasilda Mgeni amewaonya viongozi wa serikali za vijiji dhidi ya tabia iliojikita kwa baadhi yao kutengeneza migogoro hasa ya ardhi ikiwa ni sehemu ya kujipatia kipato. Kasilda amesema amebaini maeneo mengi yenye migogoro imetengenezwa na…