JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2023

Jeshi la Polisi litaendelea kushirikisha jamii kutokomeza uhalifu nchini

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi-Tanga Jeshi la Polisi limesema litaendelea kushirikisha Jamii katika kupambana na uhalifu katika maeneo mabalimbali hapa Nchini huku likipongeza wadau wenye mapanzi mema na Jeshi hilo kwa mashirikiano wanayoyaonyesha katika Mapambano dhidi ya uhalifu…

Biteko: Hakuna mradi utakaosimama chini ya uongozi wa Rais Samia

Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Geita Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mbunge wa Jimbo la Bukombe ambaye pia ni Waziri wa Madini Mhe Dkt Doto Mashaka Biteko amewahakikishia Wananchi wa Mkoa Geita kuwa Miradi yote mikubwa ya kimkakati…

TSB kuzalisha tani elfu 60 za mkonge

Na Esther Mbussi, JamhuriMedia, Mbeya Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), Saddy Kambona, amesema moja ya malengo ya bodi hiyo kwa mwaka huu ni kuzalisha tani 60,000 kutoka tani 48,000 mwaka jana. Kambona amesema hayo jijini Mbeya katika…

Serikali yamaliza mgogoro wa ardhi kati ya KKKT na wananchi Njombe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Serikali imehitimisha rasmi mgogoro wa muda mrefu baina ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya kusini Njombe na wananchi wa kijiji cha Magoda na mtaa wa Lunyanywi katika halmashauri ya wilaya ya…

Tanzania, Abu Dhabi zaitia saini mkataba wa kujenga njia ya kusafirisha umeme

Na Benny Mwaipaja, Abu Dhabi Tanzania na Mfuko wa Maendeleo wa Abu Dhabi wa Umoja wa Falme za Kiarabu zimetiliana Saini mkataba wa mkopo nafuu wa dola za Marekani milioni 30 sawa na shilingi bilioni 70 za Tanzania kwa ajili…