JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2023

Waziri Mabula ataka wamiliki wa ardhi kumiliki maeneo kwa hati

Na mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Makete Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wamiliki wa ardhi nchini kuhakikisha wanamilikishwa maeneo yao kwa kupatiwa hatimiliki za ardhi ili kuwa na salama ya miliki zao. Dkt Mabula alisema…

Prof.Janabi ashauri klabu za soka kuhakiki afya za wachezaji kabla ya usajili

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Prof. Mohamed Janabi amezishauri Klabu za soka nchini kufanya uhakiki wa afya za wachezaji kabla ya kuwasajili kuepuka kupoteza gharama pindi wanapopata madhara kiafya. Prof. Janabi ameeleza hayo…

TEA kuendelea kuwanufaisha vijana

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma MAMLA ya Elimu Tanzania (TEA), kupitia mradi wa Mfuko wa kuendeleza ujuzi imefanikiwa kuwafikia vijana 49,063 kupitia mafunzo katika sekta za kilimo,uchumi, TEHAMA , Utalii, nishati,ujenzi na uchukuzi. Imesema vijana walionufaika ni pamoja na vijana…

Waislamu waigomea Serikali mtaala wa elimu dini mseto

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar Taasisi na jumuiya za kiislamu Tanzania, haikubaliani na hatua ya Serikali kusimamia dini ya kiislamu na kuifundisha Akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 10, 2023, Amiri Jumuiya na Taasisi za Kislamu Tanzania Alhajj Sheikh…