JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2023

TFS: Ubunifu wa Royal Tour umeongeza idadi ya watalii nchini

Kufuatia jitihada zinazochukuliwa na Serikali ikiwemo ubunifu wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wa kuandaa filamu ya “Tanzania the Royal Tour” ambayo imetangaza nchi ndani na nje ya nchi kwa kiasi kikubwa, Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania…

Wizara ya Maliasili na Utalii yarithisha historia ya Vita vya Majimaji kwa jamii

…………………,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,…………………………. Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Idara ya Malikale nchini na Makumbusho ya Taifa, imerithisha historia ya Vita vya Majimaji Kwa wanafunzi na wananchi mbalimbali kupitia kongamano maalum katika Tamasha la Vita vya Majimaji Nandete Mkoani Lindi.  Akizungumza kwenye…

Mgomo wa madereva Arusha wamng’oa ofisa Latra

Mgomo wa madereva wa daladala na bajaji iliyokuwa ikiendelea katika jiji la Arusha na kushindwa kupatiwa ufumbuzi imedaiwa kumng’oa aliyekuwa Ofisa wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini( LATRA) Mkoa wa Arusha, Amani Mwakalebela. Imeelezwa kuwa ofisa huyo alishindwa kutatua migogoro…

Dk Tulia :Mbeya msiingizwe kingi na wapinzani

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini Dkt. Tulia Ackson, amewataka Wananchi hususani wa Jimbo lake wajihadhari na watu wenye nia ovu ya kutaka kuwagombanisha na Serikali yao ili wasishiriki katika…