JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2023

Askari waliotimiza miaka 18 kazini watoa vifaa tiba zahanati ya DPA

Na. Mwandishi wetu Jeshi la Polisi,Dar es Salaam Askari wa Jeshi la Polisi kutoka chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam wametoa msaada wa vifaa Tiba katika Zahanati ya Jeshi la Polisi iliyopo chuo cha Taaluma ya Polisi Dar…

Nape:Dk Slaa, Mwambukusi wamekamatwa kwa tuhuma za uhaini na si sakata la bandari

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Balozi Mstaafu Dkt. Willibrod Slaa, Mpaluka Nyangali maarufu Mdude na wakili Boniface Mwabukusi wamekamatwa kwa tuhuma za uhaini na sio kutokana na wao…

TFS: Asilimia 96 ya asali ya Tanzania inakidhi viwango vya ubora

Na Dotto Kwilasa, Dodoma Asali ya Tanzania imeshika nafasi ya pili kwa ubora Afrika, huku asilimia 96 ya sampuli ya asali ya inayozalishwa nchini zilizopelekwa maabala ya kimataifa nchini Ujerumani zilibainika kukidhi viwango vya ubora wa Kimataifa. Hayo yamebainishwa jijini…

Rais Samia adhamiria kufanya mageuzi katika kilimo cha mkonge

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan amedhamilia kufanya mageuzi katika kilimo cha Mkonge Kwa kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kusambaza miche 6,991,200 ya mbegu za mkonge bure kwa wakulima wadogo katika Wilaya 16….

TEF yasikitishwa na tukio la waandishi kushambuliwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limesikitishwa na tukio lililofanywa na vijana wa Kimasai (Morani) zaidi ya 200 katika Kata ya Enduleni, wilayani Ngorongoro la kuwashambulia waandishi wa habari na kuwatia majeraha makubwa wakiwa kazini. Agosti 15,…