JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2023

Wakulima wa mahindi Ruvuma waiomba Serikali kupanga bei maalumu ya zao hilo

Na Cresensia Kapinga,Namtumbo. Wakulima wa zao la mahindi mkoani Ruvuma wameiomba Serikali ione umuhimu wa kuweka bei ya zao hilo ambayo inafafana na gharama ya uzalishaji tofauti na hivi sasa kilo moja ya mahindi wakala wa hifadhi ya chakula kanda…

DC Mbinga atoa siku saba wanaoishi Hifadhi ya mlima Amani Makolo kuondoka

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbinga Mkuu wa Wilaya Mbinga Aziza Mangosongo alitoa agizo hilo wakati wa mkutano wa hadhara na wananchi wa kijiji cha Mkeke, kata ya Amani Makolo, Akiwataka wananchi wote wanaoishi kwenye eneo la hifadhi ya mlima amani…

JK ateta na Kamati ya Utatu ya Siasa, Ulinzi na Usalama (SADC- TROIKA) Mjini Luanda-Angola

Na Mwandishi Wetu, Angola Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika, (SADC Panel of Elders) akiwa pamoja na Viongozi wanaounda Kamati ya Utatu ya Siasa, Ulinzi na…

Mama wa kambo awaua watoto wawili kwa kuwanywesha sumu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Tabora Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora linamshikilia mwanamke mmoja kwa tuhuma za kuwaua watoto wawili wa familia moja kwa kuwanywesha sumu. Kamanda wa Polisi mkoani humo Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Richard Abwao, amethibitisha kutokea tukio…