JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2023

Sendeka awaonya vijana kutojiingiza kwenye uhaini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mbunge wa Simanjiro Mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka, amewaonya vijana nchini kutojiingiza kwenye uhaini na pia wasiunge mkono maandamano ya kupinga Serikali kupitia mitandao ya kijamii. Ole Sendeka akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani wa…

NMB yakabidhi misaada ya mil. 51/- kwa shule 9 za sekondari, msingi Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Katika jitahada za kuunga mkono jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita kutatua changamoto kwenye Sekta ya Elimu, Benki ya NMB, imekabidhi misaada ya viti na meza zake 134, madawati 200 na mabati 400 kwa shule…

RC Kunenge ameziagiza Halmashauri kuandaa mikakati itakayosadia kuongeza mapato

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani,alhaj Abubakar Kunenge amezielekeza Halmashauri za mkoa huo kuandaa mikakati thabiti itakayoziwezesha kuongeza ukusanyaji mapato ili kuisaidia serikali kutoa huduma bora kwa wananchi wake. Kunenge ameyasema hayo kwenye kikao kazi maalum kilichofanyika…

Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) awasilisha hati za utambulisho

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Mhe. Lt. Jen. (Mst) Yacoub Hassan Mohamed amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu, Mhe. Sheikh Mohammed Bin Zayed Al Nahyan…