JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2023

RC Tellack: Lindi siyo maskini

Na Mwandishi wetu, Ruangwa  Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab Tellak amesema eneo hilo lina fursa nyingi za uwekezaji na utajiri mkubwa wa madini mbalimbali isipokuwa madini ya Tanzanite na Almas pekee. Tellak akizungumza mjini Ruangwa kwenye ufunguzi wa maonyesho…

Jafo: Tumeendelea kupata mafanikio makubwa kupitia muungano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo amesema mafanikio makubwa ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi yameendelea kupatikana kufuatia kupatikana kwa ufumbuzi wa hoja za Muungano katika vikao…

DC Ubungo azitaka shule kuweka mifumo madhubuti ya usalama wa wanafunzi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hashim Komba, amempongeza Mkurugenzi wa shule za St Anne Marie, Dk. Jasson Rweikiza kwa uwekezaji mkubwa alioufanya kwenye elimu na kutengeneza nafasi za ajira. Ametoa pongezi hizo mwishoni mwa wiki…

Serikali yaridhia uamuzi wa Indonesia kukufua shughuli za kituo cha FARTC Morogoro

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameridhia uamuzi wa Serikali ya Indonesia wa kufufua shughuli za Kituo cha Mafunzo ya Kilimo kwa Wakulima Vijini (FARTC) kilichopo Mkindo mkoani Morogoro. Rais Samia amesema hayo leo akiwa na…