JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2023

Chalinze yapokea gari la zimamoto

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Chalinze Halmashauri ya Chalinze , mkoani Pwani imepokea gari la Zimamoto na Uokoaji litakalosaidia wakati yanapotokea majanga ,kutoka kwa Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ( SSF) Jenifa Shirima. Akiongea kwa niaba ya wananchi wa…

Zouzoua aonyesha kipaji chake

……………………………………………. Klabuya Yanga imefanikiwa kuondoka na alama tatu kwa kuweza kuinyuka KMC FC 5-0, kwenye mchezo wa ligi Kuu NBC uliopigwa kwenye dimba la Azam Complex Jijini Dar es Salaam. Katika Mchezo huo Yanga iliwaanzisha baadhi ya nyota wao akiwemo…

Chana: Kiswahili ni bidhaa inayoitangazaTanzania

Kamati ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo chini ya Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mussa Sima amepongeza Mkakati uliopo wa Kutangaza na kubidhaisha lugha ya Kiswahili Kimataifa. Akiwasilisha mkakati huo wa kutangaza Kiswahili Kimataifa kwenye kamati hiyo leo Agosti…

Tanzania, Cuba kuimarisha misingi ya kisiasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Tanzania na Cuba zimekubaliana kushirikiana na kuimarisha misingi ya kisiasa, ujengaji wa uwezo kwa wanasiasa vijana, sekta za elimu, afya, utalii, biashara na uwekezaji Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano…