JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2023

Wakazi Biharamulo wanunua maji wilaya jirani ya Ngara

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Biharamulo Imeelezwa kuwa baadhi ya wakazi wa wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera wanalazimika kufuata maji safi na salama kwenye wilaya jirani ya Ngara huku wakinunua ndoo moja yenye ujazo wa lita 20 kwa shilingi 2,000 kutokana…

e-GA yatambulisha mfumo wa kukusanya, kuchakata kesi jinai

Na Dotto Kwilasa, JamburiMedia, Dodoma Ofisi ya Taifa ya Mashtaka(DPP) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) imezindua mfumo wa kielektroniki wa kukusanya , kuchakata na kutunza Kumbukumbu za kesi jinai utakaoimarisha utendaji kazi. Akizindua Mfumo huo jijini Dodoma,…

TPC, HESLB waingia makubaliano kurahisisha huduma kwa waombaji mikopo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Shirika la Posta Tanzania (TPC), limesaini makubaliano na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) ili kurahisisha huduma kwa waombaji wa mikopo kupata unafuu na usaidizi pindi wanapoomba mikopo yao hasa kipindi hiki dirisha…

Baadhi ya wakazi Tumbi, Kibaha waililia DAWASA

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Kibaha Baadhi ya wakazi wa eneo la Shirika la Elimu Kibaha ,Tumbi wanakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa maji takriban miezi mitano, hali ambayo inasababisha kununua dumu la maji kwa sh.500 kwa kusafirisha na pikipiki. Kutokana na…

TMA yatoa mwelekeo wa mvua za Vuli juu ya wastani hadi wastani

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imesema mvua za Juu ya Wastani hadi Wastani zinatarajiwa katika maeneo mengi ya mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Shinyanga, kusini mwa Mkoa wa Simiyu, kaskazini mwa Mkoa wa Kigoma, Dar es Salaam, Tanga,…