Month: August 2023
Ubora maabara ya GST yavutia miradi mikubwa kupima sampuli za madini
Kamati yaipongeza kwa kujiongeza Yaweka mikakati ya kufikisha huduma za maabara kikanda Dkt. Kiruswa aitaja kuwa Kitovu cha Utafiti wa Madini Nchini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST), Dkt. Mussa…
Makatibu siasa na uenezi CCM waaswa kuacha kujiingiza kwenye migogoro
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Makawa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya zote, Mkoani Pwani wameaswa kuacha kujiingiza katika migogoro na kuwa sehemu ya wapiga debe kwa wanachama walioanza kucheza rafu ili kuwania nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi…
JWTZ yatoa siku saba wenye mavazi au sare zinazofanana na jeshi kuziwasilisha haraka
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limetoa siku saba kwa wananchi wote ambao wana nguo ama mavazi ya kijeshi,kuyawasilisha katika Makambi ya Jeshi,Vituo vya Polisi au katika Ofisi za Serikali za Mitaa na…
Msalato Satelite City kuwa mji wa mfano
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesema mradi wa Kupanga na Kupima na Kumilikisha Ardhi (KKK) katika eneo la Kitelela mkoani Dodoma maarufu kama Msalato Satelite City utakuwa wa mfano kwa…