JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2023

NHC yatakiwa kutilia mkazo ukusanyaji madeni

Na Munir Shemweta,JamhuriMedia,Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii imelitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuhakikisha linatilia mkazo ukusanyaji madeni ya wapangaji katika nyumba zake. Mwenyekiti wa Kamati hiyo Timetheo Mnzava amesema, pamoja na shirika hilo…

Putin atoa wito kwa wafanyakazi wa kujitolea kijeshi kula kiapo

Putin amewataka wajitolea wote “wanaofanya kazi za kijeshi” kula kiapo mbele ya bendera ya Serikali ya Urusi. Alitoa amri ya kuomba kiapo hicho, ambacho kinawafaa wale wanaoshiriki katika shughuli za kijeshi nchini Ukraine, kusaidia jeshi, pamoja na raia wanaohudumu katika…

TMDA yatoa elimu ya matumizi sahihi na madhara ya dawa kwa shule za sekondari Rufiji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mamlaka ya Dawa na vifaa Tiba Tanzania (TMDA) imetoa elimu ya namna ya kutumia dawa kwa usahihi na kuepuka matumizi holela ya dawa, ikiwemo kutotumia dawa zinazoweza kuzuia kupata ujauzito kwa wanafunzi na dawa zinazoongeza…

Jeshi la Polisi lawakumbusha wananchi kuyakumbuka makundi maalum

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi- Dar es salaam. Jeshi la Polisi limewakumbusha wananchi kushiriki katika maswala ya kijamii ikiwa ni Pamoja na kuyakumbuka makundi maalum ya wahitaji yaliyopo katika jamii inayowazunguka ili kujenga ustawi katika Jamii ya watanzania….

Waziri Mhagama apokea mwongozo wa kitaifa wa ufuatiliaji na tathmini katika taasisi za umma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu nayeshugulika na Sera, Bunge na Uratibu Jenista Mhagama, Amepokea Rasimu ya kwanza ya Mwongozo wa Kitaifa wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Utendaji wa Shughuli za Serikali katika Taasisi…

TRA,wafanyabiashara Kariakoo waafikiana kuhusu masuala ya kodi

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imekutana na wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga jijini Dar es Salaam na kuafikiana kiwango cha kodi kwa kundi hilo ambalo limesema lipo tayari kushiriki katika ujenzi wa taifa. Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja wa…