JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: July 2023

Kunenge: Wananchi tushirikishane kufichua vitendo vinavyoashiria uvunjifu wa amani

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani alhaj Abubakari Kunenge, ameeleza ni wajibu kwa kila mtu kushirikiana kulinda amani kwa kuwa sehemu ya kufichua vitendo vinavyoashiria uvunjifu wa amani. Ameeleza, kuna wakati zinatokea chokochoko kwenye maeneo yetu ni jukumu…

Wizara ya Elimu, Benki ya Dunia wajadili mageuzi sekta ya elimu

Viongozi wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wamekutana kwa mara ingine na kufanya majadiliano na ujumbe wa Benki ya Dunia juu ya ushirikiano katika utekelezaji wa mageuzi makubwa ya elimu nchini. Akizungumza katika kikao hicho Waziri wa Elimu, Sayansi…

Wawili wahukumiwa jela maisha kwa ubakaji watoto

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Tabora WATU wawili wakazi wa Wilaya ya Nzega na Uyui mkoani Tabora wamefikishwa mahakamani na Jeshi la Polisi na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la ubakaji watoto. Kamanda wa Jeshi la…

Dk. Sigalla:Kipengele cha afya ya uzazi EJAT kitapunguza mitazamo hasi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Jumla ya waandishi wa habari 92 wameshiriki katika kinyang’anyiro cha Tuzo za Umahiri katika Uandishi wa Habari (EJAT) 2022 ambapo jumla ya kazi 883 ziliwasilishwa kutoka vyombo vya habari vya magazeti, radio, runinga na vyombo vya…

Ridhiwani awaasa wana-Chalinze kuondoa tofauti, kukimbilia maendeleo

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Chalinze Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete amewaasa Wanachalinze kuondoa tofauti ili kufikia maendeleo ya kweli wanayoyahitaji. Ridhiwani ambae pia ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora alitoa rai hiyo wakati,…