JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: July 2023

Serikali: Watu 70 hufariki kila siku kwa uhonjwa kigua kikuu Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Arusha Watu 70 hufariki kila siku nchini Tanzania kutokana na Ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) na watu 25,800 hufariki kila mwaka kutokana na ugonjwa huo hapa nchini. Hayo yameelezwa leo na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu…

Serikali yasaini mikataba mitatu yenye thamani ya Bilioni 455.09 kutoka EU

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan ameshuhudia hafla ya utiaji saini mikataba mitatu ya makubaliano yenye thamani ya Euro 179.35 milioni sawa na shilingi za kitanzania bilioni 455.09 msaada uliotolewa na…

RC Chalamila amuapisha DC mpya Temeke

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amemuapisha Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mobhare Holmes Matinyi kufuatia uteuzi uliofanywa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan Hafla ya uapisho huo imefanyika…

Serikali yazindua rasmi ‘Chato Samia Cup 2023’

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato SERIKALI imezindua rasmi mashindano ya mpira wa miguu “Chato Samia Cup 2023” kwa lengo kutambua jitihada kubwa za rais Samia Suluhu Hassan,katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwenye wilaya ya Chato mkoani Geita. Aidha Chama…