JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: July 2023

Balozi Polepole akipaisha Kiswahili Cuba

Balozi wa Tanzania Nchini Cuba Humphrey Polepole amesema waasisi wa Mataifa ya Afrika walifanya jukumu lao kwa harakati kubwa za kulikomboa Bara la Afrika na kwamba ni wakati wa kizazi cha sasa kuhakikisha wanaleta ukombozi wa kiuchumi barani na njia…

Maandamo yafanyika Kenya licha ya marufuku ya Polisi

Maandamano ya upinzani yameanza nchini Kenya, licha ya kutangazwa na polisi kuwa haramu, na kusababisha matumizi ya vitoa machozi na vyombo vya sheria kuwatawanya waandamanaji katika miji mbalimbali. Inspekta Jenerali wa Polisi alisema kuwa “mamlaka hawana lingine ila kuchukua hatua…

DC Same atoa siku 30 vijiji vyote kuteketeza mashamba ya mirungi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Same Mkuu wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni ametoa mwezi mmoja kwa viongozi wa vijiji vitatu vya Tae, Mahande na Heikondi vilivyo kata ya Tae wilayani humo kushirikiana kuteketeza mashamba yote ya mirungi na kuachana na…

Ridhiwani:Halmashauri zishirikiane na TASAF kuinua vikundi vya wanufaika

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha Halmashauri nchini zimehimizwa ,kuvikopesha vikundi vya ujasiriamali vilivyoanzishwa na wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini TASAF, kama ilivyo vikundi vingine ili walengwa wajikwamue kiuchumi. Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala…

Rais Ruto atoa onyo kali la maandamano

Rais William Ruto ametoa onyo kali kuhusu maandamano ya Azimio yaliyopangwa kufanyika leo. Akizungumza mjini Ruai Jumanne, Rais alithibitisha kwamba hataruhusu maisha ya Mkenya yeyote kupotea kutokana na maandamano. “Walifanya maandamano, na Wakenya wasita wakapoteza maisha yao. Mnataka maandamano ifanyike,…

TANESCO,wafanyabiashara chuma chakavu wakubaliana kulinda miundombinu

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia,Songea Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoani Ruvuma limeweka makubaliano ya pamoja na wafanyabiashara wa vyuma chakavu mkoani humo katika suala zima la kulinda miundombinu mbalimbali iliowekwa na Serikali kwa maendeleo ya wananchi ikiwemo ya umeme ili…