Month: July 2023
Waziri Ummy aagiza huduma za NICU ziwepo hospitali zote za halmashauri
Na WAF – Shinyanga Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amezitaka Hospitali zote za Halmashauri nchini kuwepo na huduma za uangalizi Maalum kwa Watoto Wachanga (NICU). Waziri Ummy ametoa agizo ilo Julai 13, 2023 alipokuwa anaongea na timu ya usimamizi wa…
Watanzania watakiwa kushiriki mkutano wa kimataifa wa sekta ya mifugo na uvuvi wa AGRF 2023
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuongoza Mkutano wa kimataifa wa sekta ya Mifugo na uvuvi (AGRF-2023) September 5-8,2023 Jijini Dar Es Salaam utakaohudhuriwa na washiriki zaidi ya 3000 wanaojihusisha…
Jafo:Serikali kunufaika na trilioni 2.44
………………………………….. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema Serikali inatarajia kunufaika na takribani shilingi trilioni 2.44 kwa mwaka kutokana na Biashara ya Kaboni. Amesema hayo leo Julai 14, 2023 wakati akifungua Majadiliano…
kamisheni ya bonde mto Songwe yajipanga ujenzi wa bwana la maji
Waziri wa Maji Tanzania na Mwenyekiti Mwenza wa Baraza la Mawaziri Bonde la Mto Songwe Jumaa Aweso ameongoza mkutano wa pili wa Kamisheni ya Bonde la Mto Songwe. Waziri Aweso ambaye ni Mwenyekiti Mwenza na Mwenyeji ameshirikiana na Mwenyekiti mwenza…
Daktari aliyetoa siri ya mgonjwa kuchukuliwa hatua
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemuelekeza Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Tumaini Nagu kushughulikia maadili ya kitabibu kwa madaktari wanaokiuka taratibu za kitabibu na kutoa taarifa za faragha za wagonjwa hadharani. Ummy ametoa maelekezo hayo kufuatia taarifa iliyotolewa na Mganga…
Watu sita wafariki ajali ya lori Geita
Na Mwandishi Wetu Watu sita wamefariki dunia na wawili kujeruhiwa katika ajali ya gari dogo la abiria aina ya Toyota Hiace yenye namba za usajili T766 DQP iliyogongana uso kwa uso na lori la mizigo wilayani Bukombe mkoani Geita. Kamanda…