Month: July 2023
Prof.Janabi aagana wataalamu mabingwa wanaokwenda India
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof. Mohamed Janabi ameagana na jopo la wataalamu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili wanaokwenda nchini India kwa ajili ya masomo ya ubingwa na ubobezi. Jopo hilo linahusisha Madaktari, Wauguzi, Wataalamu wa Mionzi na…
JK aipongeza Serikali kampeni ya kuchangisha fedha za masuala ya UKIMWI
Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete ameipongeza serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kampeni maalum ya kuchangia fedha katika utekelezaji wa afua za masuala ya UKIMWI nchini ya…
Lusinde:Maoni Iliyopata Serikali sakata la bandari yanatosha Ikafanye kazi
Na Mathias Canal, JamhuriMedia,Simiyu Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Livingstone Lusinde ameitaka serikali kuyafanyia kazi maoni yaliyotolewa na Watanzania wenye nia njema kuhusu sakala la bandari ya Dar es Salaam na kuyafanyia kazi. Lusinde amebainisha hayo wakati akizungumza…
Rais Samia awaapisha viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.